Mrembo Haitham Kim
Akieleza sababu ya kutaka kuwa na wanaume watatu, Haitham Kim amesema hawezi kukubali kuumizwa na mwanaume mmoja kwenye mapenzi, wakati wapo wengine ambao wanamuhitaji kuwa naye.
"Inawezekana nikaolewa na wanaume watatu kama watanimudu vizuri, unajua wanawake tunapenda wanaume watuonyeshe upendo, mahaba na kunijali kwahiyo wakitokea wa kufanya yote hayo nipo tayari, pia siwezi kuumia kwa mtu mmoja wakati kuna wengine wananihitaji kwa muda huo" ameeleza Haitham Kim.