
Gigy ameyasema hayo alipokuwa akiongea na mwandishi wa East Africa Radio, na kusema kwamba suala la kuolewa miaka ya sasa halina dili sana kwani wanawake wanaoa wenyewe kwa kujilipia mahari, na kumtaka Rado apambane na hali yake kwa kutokuwa na hela ya kuweza kuwapata watoto wazuri.
Msikilize hapa chini