Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

FID Q kufuata nyayo za AY

Alhamisi , 15th Feb , 2018

Rapa Fid Q amepatwa na kigugumizi kwa kushindwa kuweka bayana kama naye anatarajia kufunga ndoa na mpenzi wake mpya anayeishi Tanzania na Uingereza aliyetambulika kwa jina la Karima katika siku za usooni kama ilivyokuwa kwa swahiba wake AY.

Hayo yaliibuka baada ya Fid Q kushindwa kujibu swali aliloulizwa na mmoja wa watangazaji wa kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, alilotaka kufahamu kama wana 'plan' zozote za ndoa katika mahusiano yao ndipo Kubanda aliposema hawezi kulitolea majibu suala la ndoa kwa kuwa amezoeleka sana kuzungumza hivyo anamuachia mpenzi wake Karima alitolee ufafanuzi.

"Mimi ninavyoona vitu kama hivyo sio vya kuvikimbilia sana, kuna umuhimu wa kujuana pande zote mbili maana kuna 'good side na bade side too'. Kwa sababu kila mtu anayo ya kwake na ukiangalia mimi natumia muda mwingi nikiwa Tanzania na Uingereza kwa hiyo nataka tui-balance kama tulivyokubalina kwa muda kadhaa japokuwa hatujaweka muda maalumu", amesema mchumba wa Farid Kubanda 'Fid Q' (Karima).

Kwa upande mwingine, Karima amedai wazazi wa pande zote mbili wamefurahia mahusiano yao waliyokuwa nayo hivyo endapo mambo yatakuwa sawa, suala la ndoa halitakuwa na shida.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa