
D Knob
D.Knob akiwa kwa sasa amejikita zaidi katika shughuli zake binafsi pembeni ya muziki amesema kuwa, amekuwa na wazo hilo kwa muda akiona umuhimu wa kufanya hivyo kuendelea kutoa mchango wake katika muziki hapa Bongo, mpango ambao unahitaji uwekezaji mkubwa, na hapa anaeleza zaidi mwenyewe.