
Picha ya msanii Harmonize
"Naanza kuchaji Tsh Milioni 100 kwa collaboration sharti ngima iwe kali. I cant wait kumchaji mtu fulani Milioni 500" ameandika Harmonize
Kwa mwaka huu 2022 tayari Harmonize ameshirikishwa kwenye ngoma kadhaa kama naogopa ya Marioo, follow me ya Aslay, furaha ya Iyani kutoka Kenya, na champion remix ya Kontawa.