![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/field/image/sitemgr_photo_316874.jpg?itok=5FP8eZ4c×tamp=1472320468)
Wasanii Mose Radio na Bruce Melody
Baada ya kufanya colabo na wasanii mbalimbali nchini Uganda wakiwemo pia Jamal na Fille, Bruce ameelezea kuwa hivi sasa anatarajia kufanya kazi zaidi na wasanii kutoka Afrika Mashariki ili kukuza zaidi muziki wake.
Bruce amekuwa ni moja ya wasanii ambao wanapenda kuwapa moyo wasanii mbalimbali nchini humo kufanya muziki wao live stejini.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/bruce-melody-arasaba-imbabazi-abanyarwanda_52b32e60858e9.jpg?itok=ahnOKakW)