msanii wa muziki nchini Kenya Bamboo akiwa na dada yake Victoria Kimani
Rapa huyu amesema kuwa, wanaume wanaovamia wanawake hao na kuwavua nguo ni wanyama, wakatili na wanachostahili ni kifungo tu bila kujali ni kwa namna gani mwanamke waliomvamia amevaa.
Kampeni hizi zimejizolea umaarufu nchini Kenya hasa baada ya makundi ya wanaume kuibuka na kushirikiana kuwavamia wanawake waliokuwa wamevaa nguo fupi na kuwavua nguo katika matukio matatu tofauti nchini humo.