Jumapili , 20th Nov , 2022

Msanii Aslay Isihaka ameshea ujumbe huu kwenye page yake ya Instagram baada ya ukimya wa muda mrefu kwenye mziki.

Picha ya msanii Aslay

"Ni muda mrefu umepita, mengi yalizungumzwa lakini sasa ni wakati sahihi wa mimi kuzungumza". ameandika Aslay

Msanii huyo ambaye ni muandishi na producer pia kwa sasa amesainiwa lebo ya Sony Music Africa na kusimamiwa na Rock Star.