
Rais wa CAF, Ahmad Ahmad akihutubia moja ya mkutano wao

Mchezo dhidi ya Arsenal siku ya Jumapili utakuwa wa 100 kwa kocha Ole Gunnar Solskjaer akiisimamia Man United kama kocha mkuu

Mbunge mteule wa jimbo la Shinyanga Mjini Patrobas Katambi

Mchezaji wa Pazi Denis Chibula.

David Alaba (Kushoto) akiwa na kocha wake Hans Flick baada ya kutwaa ubingwa wa 8 wa Bundesilga.

Mlinzi wa Liverpool, Virgil van Dijk alipoumia katika mchezo dhidi ya Leicester City.

Kushoto ni Mbunge mteule wa jimbo la Ubungo Kitila Mkumbo na kulia ni aliyewahi kuwa Meya wa Ubungo kwa tiketi ya CHADEMA Boniface Jacob

Kushoto ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, wa pili ni Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe.

kushoto ni Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mambo ya nje CHADEMA, John Mrema na kulia ni Mbunge mteule wa jimbo la Segerea Bonnah Kamoli