Mwimbaji wa muziki wa dansi nchini marehemu Amina Ngaluma
Mume wa marehemu, Rashid Sumuni ameomba mashabiki na wadau wa muziki nchini kushirikiana katika Arobaini siku hiyo ambapo shughuli itaanza baada ya swala ya Alasiri na baadae kujumuika katika futari.
Ngaluma alifariki dunia Mei 15 mwaka huu kwa shinikizo la damu akiwa nchini Thailand ambako ndiko alikohamishia makazi yake kikazi akiwa na bendi ya Jambo Survivors na kuzikwa Mei 24 Jijini Dar es Salaam.






.jpg?itok=5cvL0YaP)