
Pichani Ni msanii Abigail Chams
Abigail anazidi kuthibitisha kuwa kizazi kipya cha wasanii wa Bongo kina nafasi halali kwenye jukwaa la dunia,kutajwa kwake si tu ushindi binafsi, bali ni ushindi kwa muziki wa Tanzania, wasanii wachanga, na wasichana wote wanaoota kufikia ndoto zao kubwa.
Abigail Chams anaungana na wasanii kama Alikiba,Diamond Platnumz,Rayvanny ambao wamewahi kuwania tuzo hizo na wote walifankiwa kuzitwaa kulingana na vipengele walivyopendekezwa