Picha ya wasanii TID, Fid Q na Alikiba
Licha ya video za muziki kuwa na faida lukuki ila kuna baadhi ya nyimbo za Bongo Fleva ambazo ni kali na zilifanikiwa kufanya vizuri sokoni lakini hazikufanyiwa video.
Baadhi ni;
1.My Everything – Alikiba.
2.Chochote Popote – Joh Makini.
3. Mwanza Mwanza – Fid Q.
4.Mb Dogg – Akili yangu.
5.Girlfriend – TID alimshirikisha Jaymoe.







