Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tozo mpya yafutwa

Jumatatu , 21st Aug , 2017

Mkuu wa wilaya ya Ubungo jijini Dar es salaam, Mh. Kisare Makori amefuta tozo mpya ya mabasi ya kusafirisha abiria, iliyowekwa na uongozi wa kituo cha mabasi cha Simu 200 maarufu kama mawasiliano.

Taarifa hiyo imetolewa leo alipoenda kusikiliza malalamiko ya madereva wa mabasi hayo ambao waliweka mgomo wa kusafirisha abiria mpaka pale watakaposikilizwa.

Mgomo huo ulioanza leo asubuhi uliwekwa baada ya madereva kukataa tozo mpya ya shilingi 1000 waliyoambiwa waanze kulipa, badala ya shilingi 500 ambayo walikuwa wakitoa awali kituoni hapo.

Pia madereva hao waligomea kulipa tozo hiyo iliyoongezwa bila kuboreshwa kwa huduma kituoni hapo, ikiwemo kurekebishwa kwa barabara inayotoka Sam Nujoma kwenda Mawasiliano, ambayo imekuwa ikilalamikiwa kwa ubovu na kuharibu magari yao.

Wakati huo huo Mkurugenzi wa Manspaa ya Ubungo Mh. John Lipesi Kayombo, amewaahidi madereva hao kuanza kushughulikia kero zao ikiwemo kureebishwa kwa hiyo barabara, pamoja na kero zingine ndogo ndogo ikiwemo huduma za vyoo na gharama zisizo eleweka ni za nini.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji