Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zijue sababu za Nondo kutokata rufaa

Jumamosi , 19th Mei , 2018

Wakili wa Mwanafunzi wa mwaka wa tatu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Abdul Nondo, Jebra Kambole amefafanua kuwa sababu kubwa ya kutokata rufaa baada ya Hakimu wa kesi ya mteja wake kugoma kujitoa kwenye kesi hiyo ni kutokana na kuwa huo  ulikuwa ni uamuazi mdogo ndani ya kesi kuu.

Akizungumza na www.eatv.tv Wakili Kambole amesema kuwa ingawa hakimu huyo amegoma kujitoa kwenye kesi hiyo watasubiri mpaka mwisho wa shauri hilo ili kuona kama maamuzi hayatakuwa ya haki ndipo watakapokata rufaa ya shauri zima.

"Sheria zetu zinaruhusu kwamba hakimu ndiye mwenye kuamua kuendelea kuwepo au kujitoa. Lakini Hakimu Mpitanjia amesema kwamba atatenda haki. Sisi tumekubali na atujakata rufaa kwa sababu ni mjaamuzi madogo kwenye kesi kuu. Kama tutakata rufaa kwenye kesi kuu na haya manung'uniko pia tutayajumisha kwenye rufaa ya kesi kuu," Kambole.

Pamoja na hayo Kambole amesema sababu kuu iliyompelekea Nondo kuandika barua ya kutokuwa na imani na Hakimu ni kutokana na ukaribu aliokuwa nao Hakimu pamoja na Mkuu wa upelelezi kitu ambacho kinatia wasiwasi wa haki kutendeka.

HABARI ZAIDI

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani