Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wizara ya Afya yafunguka kuhusu dawa kinga

Jumatano , 15th Nov , 2017

Mganga Mkuu wa serikali Prof. Muhammad Bakar amekanusha juu ya dawa kinga zinazotolewa kwa wananchi na Wizara ya Afya kwa lengo la kuwakinga na magonjwa yasiyopewa kipaumbele kuwa zina madhara kama ambavyo imekuwa ikidaiwa na baadhi ya wananchi.

Prof. Bakar ameyasema hayo katika mkutano na wahariri wa vyombo vya habari na watumishi mbalimbali kutoka wizara ya afya jijini Dar es Salaam juu ya magonjwa yasiyopewa kipaumbele kama Matende, Mabusha,Usubi na Trakoma ambapo amewatoa hofu wananchi kuwa dawa hizo hazina madhara na mpaka sasa wamefanikiwa kupunguza kasi ya maambukizi ya magonjwa hayo mpaka asilimia 77 kwa baadhi ya magonjwa.

Dawa hizi hugawiwa bure na wizara ya afya kupitia mpango wa taifa wa kudhibiti magonjwa yasiyopewa kipaumbele ambapo awamu ijayo dawa zitaanza kugawiwa katika mkoa wa Dar es Salaam wananchi zaidi ya milioni nne wakitarajiwa kupatiwa dawa hizo, huku mwitikio mdogo wa wananchi hasa wa mijini ukitajwa kuwa changamoto kubwa katika mazoezi yaliyopita.

 

 

 

 

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji