Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Mkuu aipa siku 2 Wizara ya Jafo

Alhamisi , 4th Feb , 2021

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameipa siku mbili Wizara ya TAMISEMI kufuatilia halmashauri za wilaya ambazo zilikuwa na makao makuu yake katika halmshauri za miji, kuhakikisha zinahamia kwenye makao mapya na zisipotekeleza apelekewe taarifa ofisini kwake Jumamosi Februari 6 saa 4 asubuhi.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa

Kauli hiyo ameitoa hii leo Februari 4, 2021, Bungeni Dodoma, katika kikao cha Tatu, mkutano wa Pili wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati akijibu swali la mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma, aliyehoji ni hatua gani zitachukuliwa kwa halmashauri ambazo zimekaidi agizo la Rais Magufuli, kwani wafanyakazi wake wanakwenda kulala mijini na kwamba wanazidi kuongeza gharama kwa serikali.

"Ni kweli Rais alitoa agizo na halmashauri nyingi zililitekeleza, nataka niagize halmshauri zilizotakiwa kuhama waondoke mara moja na wasipofanya hivyo mkuu wa mkoa husika achukue hatua dhidi ya watu hao ambao hawataki kwenda kwenye maeneo mapya", amesema Waziri Mkuu

Aidha Waziri Mkuu pia akaongeza"Naiagiza pia TAMISEMI kufuatilia kila halmshauri ambayo ilitakiwa kuhama na nitahitaji taarifa hizo Jumamosi ofisini kwangu saa 4:00 asubuhi ili nijue ni halmashauri gani watumishi hawajahama ili tuchukue hatua za kinidhamu kwa watumishi hao"

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja