Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri China ahukumiwa kifo kwa hatia ya rushwa.

Alhamisi , 22nd Sep , 2022

Waziri wa zamani wa sheria nchini China Bw. Fu Zhenghua, ambaye alikua  akiongoza mapambano ya kampeni dhidi ya rushwa  amekutwa na hatia ya makosa ya  rushwa.

 Bw. Fu amekutwa na hatia  mwezi Julai mwaka huu ,ya kupokea rushwa fedha za China Yuan milioni 117 ambazo ni zaidi yashilingi bilioni 38 za Kitanzania. 

Vyombo vya habari nchini humo vimesema kwamba  amehukumiwa hukumu ya kifo ambayo hata hivyo imesimamishwa ili kupisha mchakato wa kuifanya kuwa adhabu ya kifungo cha maisha ndani ya miaka miwili ijayo.   

Mashtaka yake yanakuja katika kipindi ambacho kuna mpasuko  kwenye mamlaka za nchi hiyo kuelekea mkutano muhimu sana wa chama tawala cha kikomunist mwezi ujao. 

Chama hicho tawala nchini China hufanya mkutano wake mkuu mara moja kwa miaka mitano, ambapo inatarajiwa kwamba Rais wa nchi hiyo  Xi Jinping ataongezewa muhula mwingine wa tatu madarakani, jambo abalo litakua historia kwenye nchi hiyo. Kesi ya Fu inafuatia ikiwa zimepita siku kadhaa maaskari watatu wastaafu wenye vyeo vikubwa nchini humo kuhukumiwa gerezani kwa makosa ya rushwa na kutohesimu kiti cha Rais   Xi.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja