Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watumishi wa umma si wawajibikaji- Rais Mwinyi

Alhamisi , 8th Jul , 2021

Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema moja ya tatizo kubwa walionalo watumishi wa serikali ni uwajibikaji katika kuleta maendeleo kwa wananchi.

Rais wa Zanzibar Dkt. Hussein Ali Mwinyi

Dkt. Mwinyi ametumia ukurasa wake wa mtanado wa kijamii wa Twitter leo, kuainisha kile kilichojiri mara baada ya baadhi ya watumishi kusikia juu ya ziara yake katika eneo la Welezo wahusika hivyo kutatua tatizo la wananchi.

“Tatizo kubwa la watumishi Serikalini ni uwajibikaji, nimesikia maji yameanza kutoka baada ya kusikia nakuja hapa Welezo,” amesema Rais Dkt. Mwinyi.

Rais Dkt. Mwinyi anafanya ziara ya wiki moja katika mikoa mitatu ya Unguja kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ambapo leo hii anafanya ziara katika Mkoa wa Mjini Magharibi, Welezo.

Aidha Dkt. Mwinyi ametoa agizo kwa watendaji wote wa Serikalini kwa upande wa elimu, afya, barabara na maji waje na mpango wa kudumu kwa kipindi cha mwezi mmoja.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa