
Katibu Tawala wilaya ya Mtwara Thomas Salala
Hayo ameyasema mkoani Mtwara na kuongeza kuwa watoto wengi mkoani humo wanakosa malezi na makuzi toka kwa wazazi wao, hali inayodaiwa wengi wao kukosa uzalendo kwa nchi yao.
Baadhi ya wakazi wa mkoa huo wamekiri kuwapo kwa tatizo hilo huku sababu kubwa ikielezwa kwamba vijana wengi mkoani humo, hawapendi kushiriki katika shughuli za maendeleao hali inayaopelekea baadhi yao kushindwa kutimiza jukumu la kuwalea watoto wao.