Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watoto wanaozaliwa na jinsi mbili wasifichwe

Jumatano , 7th Jul , 2021

Jamii imeombwa kutowaficha watoto wanaozaliwa na jinsi mbili tofauti badala yake kuwafikisha kwenye mamlaka husika za serikali ili waweze kupimwa na kufanyiwa uchunguzi wa kitaalum zaidi.

Mkurugenzi wa Huduma na Udhibiti anayesimamia Uingizaji, Usambazaji na Matumizi ya Kemikali nchini kutoka Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), Daniel Ndiyo .

Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa Huduma na Udhibiti anayesimamia Uingizaji, Usambazaji na Matumizi ya Kemikali nchini kutoka Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), Daniel Ndiyo ambaye amesema watoto wanaozaliwa na jinsi mbili wapo ijapokuwa jamii inawaficha.

"Kwa sasa hakuna haja ya kuwaficha watoto hao, GCLA inatoa huduma ambapo kwa kushirikiana na madaktari mbalimbali wanafanya uchunguzi wa kuthibitisha ni jinsia  gani ambayo inatawala kati ya kiume na ya kike," amesema Daniel.

Amesema wanapofanya uchunguzi wa kimaabara wanaweza kutambua kwamba mtoto huyo ni mwanamke au ni mwanaume hivyo jinsia ambayo inatawala ambayo haitakiwi kuwepo wanawashauri madaktari kuweza kufanya upasuaji ili kumuwezesha mtoto huyo atambulike kama ni mwanaume au mwanamke.

Aidha, Daniel amesema kuwa mamlaka hiyo inafanya uchunguzi wa vinasaba kwa wagonjwa wa figo wakati wa kuhitaji mtu wa kumuwekea figo hiyo.

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri