Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watekaji watatu wa magari wauawa

Jumatano , 1st Dec , 2021

Watu watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambanzi wamepoteza maisha katika wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera, baada ya kutokea majibizano ya risasi baina ya polisi na watu hao, usiku wa kuamkia leo Desemba 01, 2021, majira ya saa 8:00 usiku.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Kagera Awadhi Haji

Kamanda wa polisi mkoani Kagera Awadhi Haji, amesema kuwa polisi walipata taarifa za siri kuwa kuna kundi la watu saba wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wameonekana katika milima ya Nyabugombe, Kata ya Nyakahura wilayani humo, na kwenda kukabiliana nao.

"Watu hawa walikuwa wanajiandaa kuteka magari na kufanya uporaji wa mali za watu katika eneo hilo, lakini kwa kuwa tulipata taarifa mapema tulifanikiwa kuwadhibiti kabla ya kutekeleza uhalifu," amesema Kamanda Awadhi.

Kamanda huyo amesema kuwa walipofika eneo la tukio waliwaona watu hao wakiwa wamevalia makoti marefu na kwamba walipowaamrisha kusimama ili wakaguliwe, ghafla walianza kuwarushia risasi polisi, nao wakaamua kujibu mapigo na kufanikiwa kuwajeruhi watu watatu na wanne wakafanikiwa kukimbia na eneo la tukio imepatikana bunduki moja aina ya AK 47 na risasi 51.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa