Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watanzania wapewa somo kuanzisha viwanda vidogo

Alhamisi , 25th Aug , 2016

Watanzania nchini Wametakiwa kuwekeza na kujikwamua kiuchumi kwa kuanzisha viwanda vidogovidogo vitakavyozalisha ajira na kukuza pato la nchi hivyo kusaidia kuondokana na tatizo la umasikini uliokithiri kwenye kaya nyingi nchini.

Afisa Tarafa wa Kimandoru mjini Arusha, Felician Mtahengerwa.

Hayo yamebainika kutoka kwa Washiriki wa Mafunzo ya Ujasiriamali juu ya namna ya kumiliki viwanda vidogo vya uzalishaji, yalioandaliwa na Kampuni ya Zebra iliyoko jijini Arusha kwa ajili ya kuwawezesha wajasiriamali hao kukuza mitaji yao.

Suzan Nyari na Glory Antony wamesema kuwa Mafunzo waliyoyapata juu ya jinsi ya kutengeneza bidhaa za viwandani kama Sabuni, Ufugaji wa kuku pamoja na usindikaji vyakula yatawasaidia katika kuanzisha viwanda vidogovidogo hivyo wameiomba serikali iwapatie mikopo ya riba nafuu ili kutekeleza adhma ya Rais Magufuli ya kuwa na uchumi wa viwanda.

Naye Mkurugenzi wa kampuni iliyotoa mafunzo hayo, Zuberi Mwinyi amesema kuwa Mafunzo wanayoyatoa yatawasaidia wananchi wa jiji la Arusha kuweza kutumia vizuri fursa zilizopo katika maeneo yao kujikomboa kiuchumi.

Kwa upande wa Afisa Tarafa wa Kimandoru mjini Arusha Felician Mtahengerwa amesema kuwa mafunzo hayo yatawasaidia Wananchi wa Arusha kufanya biashara kitaalam na kwa kuzingatia sheria na maadili ili waweze kuepuka hasara.

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu