Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watanzania waaswa kujitokeza kupima afya zao

Jumapili , 27th Sep , 2020

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu amewataka Watanzania kuwa na utaratibu wa kupima afya zao mara kwa mara kwa kuwa taifa lenye watu wenye afya njema ni mtaji wa kwanza kwa nchi.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Mussa Azzan Zungu.

Mhe. Zungu ametoa wito huo mara baada kufanya mazoezi ya pamoja katika viwanja vya Tanganyika Packers Jijini Dar es Salaam yaliyoandaliwa na Hospitali ya Aga Khan yaliyoendana na upimaji wa magonjwa mbalimbali bila gharama,  yakiwemo ya saratani ya matiti kwa wakina mama, ambapo amekumbusha umuhimu wananchi kulinda afya zao.

"Mhe Rais anataka Taifa la watu wenye afya njema hivyo ukiona watu wanajitokeza hivi kuandaa maeneo watu waje kupima afya bure ni jambo kubwa sana niwaase tuu watanzania wote kuitumia fursa hii",amesema Zungu.

Kwa upande wao baadhi ya wananchi waliojitokeza kwenye zoezi hilo wameshauri kutolewa mara kwa mara kwa huduma za upimaji afya bure kwa wananchi kwa kuwa wengi wao huwa wanashindwa kumudu gharama za vipimo.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji