Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaume watakiwa kuunda vikundi, Zaina kusaidiwa

Jumatatu , 13th Sep , 2021

Waziri wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima, amewataka wanaume kuunda vikundi vya kujadili changamoto wanazokumbana nazo na kusukuma gurudumu la maendeleo kwa kuijenga jamii yenye usawa na yenye kupinga ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto na wanawake.

Waziri wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima, alipomtembelea Mama Zaina Khamis, aliyetelekezwa na mme wake

Wito huo ameutoa alipomtembelea Mama Zaina Khamis mwenye watoto 6 waliokosa fursa ya kupata elimu licha ya kuwa umri wao unastahili kuendelea na masomo anayeishi na wanaye katika Kata ya Bangulo Gongo la mboto, baada ya kutelekezwa na mume wake aliyekuwa akiishi nae Tabata. 

"Wajibu wa vyombo vya serikali lazima tujisogeze karibu na wananchi, wananchi watujue ili wajenge imani na sisi kwamba tupo karibu nao, sasa hivi tuna simu za mkononi, tuna mitandao ya kijamii tuitumie vizuri ," amesema Dkt. Gwajima. 

Kufuatia hatua hiyo Dkt. Gwajima akasema kwamba, Mama Zaina atachukuliwa na kuhifadhiwa na serikali kwenye makao maalum na salama katika kipindi hiki ambacho watoto wake wakiendelea kufanyiwa utaratibu wa kujiunga na masomo, huku wataalamu wa Maendeleo ya Jamii wakiendelea kutafuta suluhu ya changamoto ya mzazi mwenza ili kuinusuru familia hiyo.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea