Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaokwenda kufanya kazi Uarabuni waonywa

Alhamisi , 22nd Jun , 2017

Mawakala wa Ajira na Watanzania wanaokwenda kufanya kazi nje ya nchi hususani nchini za kiarabu wametakiwa kupitia kwenye mfumo uliaondaliwa na serikali ili kuepusha unyanyasi, ukatili ukiwemo mauaji yanayowakuta katika nchi wanazokwenda kufanya kazi

Kauli hiyo imetolewa leo Bungeni Mjini Dodoma na Naibu Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge Kazi, Ajira, Vijana, Wazee na Wenye Ulemavu, Antony Mavunde na kusema lengo likiwa ni serikali kupata taarifa pindi manyanyaso dhidi yao yanapojitokeza.

Mhe. Mavunde ametumia fursa hiyo kutoa onyo kwa Mawakala ambao husafirisha watu kinyume na taratibu na kusema kuwa pindi watakapobainika sheria kali zitachukuliwa dhidi yao ikiwemo kufutiwa usajili, na kuwachukulia hatua ya kutopata usajili tena na kuongeza kwamba wapo watanzania hawapiti katika ofisi za serikali  kitu ambacho kinawafanya wakose hata msaada wa haraka kutoka ubalozini.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani