
Wananchi wakichota maji ya mto Kaseke
Mkandarasi anayesimamia mradi wa maji kijijini hapo anaitwa Howard Consulting Company na anayetekeleza ni Serengeti Company Limited kushindwa kukamilisha kwa wakati kwa zaidi ya awamu mbili sasa.
Wananchi wa kijiji hicho wamesema wanalazimika kutumia maji hayo ambayo ni machafu kutokana na kutokuwa na mbadala wa maji mengine hivyo kuomba hatua za haraka kuchukuliwa ili kunusuru afya zao.