Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanajeshi 11 waliofariki Mbeya, tume kuundwa

Jumanne , 19th Jun , 2018

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), limesema litaunda tume maalum kwa ajili ya kuchunguza chanzo cha ajali ya gari la Igunga Trans lililoua watu 13, wakiwemo vijana 10 wa JKT, askari mmoja wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) na raia wawili iliyotokea eneo la Igodima jijini Mbeya.

Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Martin Busungu

Akizungumza wakati wa zoezi la kuaga miili ya askari hao lililofanyika katika viwanja vya JKT Itende Mbeya, Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa nchini Martin Busungu, amesema mara baada ya tume kukamilisha uchunguzi wa ajali hiyo hatua kisheria zitachukuliwa kwa yeyote aliyehusika.

Akitoa salama za pole kwa ndugu na Taifa kwa ujumla kwa niaba ya Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Venance Mabeyo, Mnadhimu wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Luteni  Jenerali Yakoub Mohammed amesema taifa litawakumbuka vijana hao kwa uzalendo ikiwemo ujenzi wa ukuta wa Mererani, na kuongeza kuwa vijana waliopata ulemavu wa kudumu katika ajali hiyo Jeshi litaandaa utaratibu wa namna ya kuwasaidia.

Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Paul Ntinika kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa Amos Makalla,  amewataka watumiaji wa barabara kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kuepukana na ajali zinazoweza kuepukika.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa