Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanahabari nao watinga mahakamani kupinga sheria

Jumatano , 18th Jan , 2017

Muungano wa  klabu za waandishi wa habari nchini  UTPC Kwa kushirikiana na wadau wa habari  wamefungua  kesi kwenye mahakama kuu kanda ya Mwanza kupinga sheria mpya ya huduma za vyombo vya habari ya mwaka 2016

Wanahabari wakiwa kazini

Wadau hao wanadai kuwa sheria hiyo imekiuka Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 18 inayotoa haki na uhuru wa mtu kutoa na kupata taarifa.

Akizungumza kutoka katika mahakama hiyo mwanasheria Jebra Kambole amesema katika kesi hiyo ya kikatiba namba mbili ya mwaka 2017 inayosimamiwa na wanasheria 6 wakujitegemea imelenga kuishinikiza serikali kufanya marekebisho ya baadhi ya vifungu kwenye sheria hiyo kikiwepo kifungu namba 8,35 hadi 39 na 52 hadi 59  vya sheria ya huduma za vyombo vya habari namba 12 ya mwaka 2016.

 Kesi hiyo inafunguliwa ikiwa ni siku chache tangu wadau wengine wafungue kesi  kwenye mahakama ya Afrika Mashariki jijini Dar es Salaam huku wadau wa habari wakiendelea kutilia mgomo kushiriki mchakato wa kutunga kanuni za sheria hiyo.

Wasikilize hapa

  1. Jebra Kambole - Mwanasheria
  2. Jane Mihanji - Makamu wa Rais UTPC
  3. Abubakar Karsan - Mkurugenzi Mtendaji UTPC

 

 

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa