
Imeelezwa kuwa Baada ya uhalifu wa kuiba fedha hizo watuhumiwa hao walizificha kwa kuziweka kwenye akaunti zao benki ili wasibainike na kukamatwa.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Manyara ACP Goerge Katabazi amesema tukio hilo lilitokea Juni 6.2023 katika mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro
Amesema Jeshi la Polisi limezuia fedha hizo zisitoke huko benki ili taratibu za kisheria zifuatwe na watuhumiwa hao wanashikiliwa na Polisi kwa upelelezi zaidi