Moja ya gari lililoparamiwa na lori
Aidha watu 10 wamejeruhiwa kwenye ajali hiyo ambapo wanaendelea kupata matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mbeya na Igawilo. Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ulrich Matei amethibitisha usiku huu.
Ajali hiyo imetokea hii leo majira ya saa 2:00 asubuhi, huku chanzo cha ajali kikielezwa kuwa ni kufeli kwa breki ya lori iliyopelekea lori hilo kuparamia magari mengine yaliyokuwa chini ya mlima.