Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wadau wa vifungashio wakutana 

Alhamisi , 29th Sep , 2022

Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) imekutanisha wadau wa vifungashio, wazalishaji, wauzaji, wanunuzi na taasisi wezesheji katika uwanja wa maonesho wa Mwl. J.K. Nyerere  (Sabasaba) Dar es Salaam kujadili namna ya kutatua changamoto zinazoikabili sekta hiyo.

Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade, Latifa M. Khamis

Akizungumza baada ya mkutano huo Mkurugenzi Mkuu wa TanTrade, Latifa M. Khamis, amesema kuwa kuna changamoto nyingi za upatikanaji wa vifungashio bora kwa bidhaa zinazozalishwa nchini, hivyo, TanTrade pamoja na wadau wengine serikalini na sekta binafsi  itaendelea kushirikiana ili kutatua changamoto ambayo inarudisha nyuma ushindani wa bidhaa zinazozalishwa nchini katika masoko ya ndani na nje.

Kwa upande wake msimamizi wa kituo cha vifungashio na ufungashaji Antonia Masoi, amesema kuwa mkutano huo ni muhimu sana katika kuwezesha bidhaa za wajasiriamali kuweza kushindana sokoni.
 

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji