Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wa kwanza kutangaza vita ya pili ya dunia afariki

Jumanne , 10th Jan , 2017

Mwandishi wa habari Clare Hollingworth, mkongwe aliyetangaza habari ya kuanza kwa vita ya pili ya dunia amefariki dunia Hong Kong akiwa na umri wa miaka 105.

Clare, hapa alikuwa na miaka 104

Clare Hollingworth alizaliwa katika mji wa Leicester nchini Uingereza mwaka 1911, na ndiye mwandishi wa habari aliyetangaza taarifa ya Ujerumani kuivamia Poland mwezi Agosti mwaka 1939.

Mwandishi huyo aliendelea kuripoti habari huko Vietnam, Algeria na Mashariki ya kati.

Wakati akiibuka na habari hiyo ya kuanza kwa vita ya pili ya Dunia, Bi Hollingworth alikuwa mwandishi kinda wa gazeti la Daily Telegraph.

Kabla ya kuwa mwandishi wa habari alisaidia maelfu ya watu kutoka katika jeshi la Hitler kwa kuwasaidia kupata viza ya Uingereza na ni yeye aliyeyaona majeshi ya Ujerumani yakitanda katika mpaka wa Poland wakati akisafiri kutoka Poland kwenda Ujerumani mwaka 1939.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji