Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Viongozi wa dini waombwa kuisaidia sumatra 

Jumamosi , 19th Mei , 2018

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa nchi Kavu na Majini SUMATRA Mkoani Tabora imawaomba viongozi wa madhehebu mbalimbali ya dini kuisadia serikali kuwaelimisha wananchi kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kuweza kupunguza ajali mkoani humo

Ombi hilo limetolewa na Afisa mfawidhi wa mamlaka hiyo mkoani Tabora bwana Joseph Maiko wakati akizungumza na East Radio Ofisini kwake.

Amesema viongozi wa dini wanakutana na watu wengi katika nyumba zao za ibada hivyo ni vyema kuisaidia serikali kuwaelimisha wananchi juu ya umuhimu wa kuzingatia sheria za usalama barabarani ili kupunguza tatizo la ajali mkoani humo.

Aidha Bw. Maiko ameongeza kuwa watumiaji wengi wa vyombo vya moto bado hawazingatii sheria za usalama barabarani na hivyo kuwepo kwa ajali nyingi zisizotarajiwa mkoani humo.

Akizungumza kwa niaba ya viongozi wa madhebu ya dini mkoani humo Shekhe Ramadhani Rashidi Juma amesema wao kama viongozi wa dini wamepokea ombi hilo na kuahadi kushirikiana na serikali katika kupunguza tatizo la ajali mkoani humo.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa