Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vijana watakiwa kuacha skanka kunusuru maisha yao

Jumanne , 2nd Apr , 2024

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka vijana kuacha kutumia dawa za kulevya hususani bangi yenye kiasi kikubwa cha kilevi iitwayo Cha Arusha na Skanka akisema aina hii ya bangi huwafanya wawe Vichaa na itawapoteza kwenye muelekeo.

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa

Akizungumza wakati wa Uzinduzi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru mkoani Kilimanjaro leo April 02, 2024 Waziri Mkuu Majaliwa amesema dawa za kulevya aina ya bangi na mirungi zimeendelea kutumiwa kwa wingi hapa nchini.

"Hivi karibuni kumeibuka aina nyingine ya bangi yenye kiasi kikubwa cha kilevi inayofahamika kama #ChaArusha pamoja na #Skanka aina hii ya bangi yenye sumu nyingi huchanganywa kwenye sigara lakini ukishaitumia Watumiaji wanabadilika na kuwa Vichaa”

“Ni wakati mzuri sasa vijana ambao mmekuwa mkitumia Cha Arusha na Skanka muache ili kunusuru maisha yenu, vijana mnahitajika katika Taifa hili, vijana ndio mtakaolijenga Taifa hili, Vijana ndio muelekeo wa Taifa hili Cha Arusha na Skanka zitawapoteza kwenye muelekeo na mtalifanya Taifa hili likakosa Watanzania” alisisitiza Waziri Mkuu

HABARI ZAIDI

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari

Picha ya Diddy na Cassie enzi za mahusiano yake

Diddy aomba msamaha kumshambulia EX wake Cassie

Rais wa Iran Ebrahim Raisi

Rais wa Iran afariki kwa ajali ya Helikopta

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu