
Ajali ya basi na Treni
Mganga Mkuu wa Hospitali ya wilaya ya Manyoni, Dkt. Furaha, amethibitisha taarifa hizo na kwamba majeruhi wa ajali hiyo wanapatiwa matibabu katika Hospitali za Itigi Mission na Hospitali ya wilaya ya Manyoni.
Ajali hiyo imetokea alfajiri ya leo Novemba 29, 2023.