Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ugonjwa wa ajabu waibuka Mbeya wauwa 15

Jumamosi , 6th Feb , 2021

Wananchi wa kata ya Ifumbo wilayani Chunya mkoani Mbeya, wameripotiwa kuugua ugonjwa usiofahamika ambao mtu akiugua anatapika damu mpaka anapoteza maisha, na mpaka sasa tayari watu zaidi ya 15 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 50 wanaendelea kuugua.

Diwani wa Kata ya Ifumbo, Weston Mpyila

Taarifa ya kuwepo kwa ugonjwa huo usiofahamika imeibuliwa na Diwani wa Kata ya Ifumbo, Weston Mpyila, mbele ya kikao cha Baraza la Madiwani la Halmashauri ya wilaya ya Chunya huku akiomba msaada wa kuwanusuru wananchi wake.

Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya chunya, Ramadhan Shumbi, ameeleza hatua ambazo zimeshachukuliwa na halmashauri yake kukabiliana na ugonjwa huo huku wakiomba kuomba msaada wa kitaalam katika ngazi za juu ili kuubaini na hatimaye kupata tiba yake.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa wilaya ya Chunya, Dk. Felister Kisandu, amethibitisha kuwepo kwa ugonjwa huo ambao wameshindwa kuutambua na kudai kuwa ofisi yake imeomba msaada katika ngazi za juu ili wasaidiwe kuutambua na kukabiliana nao.

HABARI ZAIDI

Coaster iliyoparamia nyumba Bukoba

Tisa wanusurika kifo Kagera

Picha ya Fat Joe na Chris Brown

"Chris Brown anafaa kuwa 2Pac wa kisasa" - Fat Joe

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji