Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Uchomaji miili ya corona India wafanyika mbugani

Jumamosi , 8th Mei , 2021

Nchi ya India imerekodi vifo vya watu 4,187 kwa siku moja hii leo Mei 8 na kufikisha idadi ya vifo vitokanavyo na corona kufikia 238,270 tangu mlipuko uingie nchini humo

Uchomaji wa miili ya waliofariki kwa ugonjwa wa CORONA India Ikifanyika

Maeneo ya kuhifadhi miili ya marehemu na yale ya kuchomea miili yamejaa kiasi cha kusababisha miili kwenda kuchomewa katika maeneo ya kuegesha magari na mbuga

.
India imefikisha wagonjwa wa corona wapatao milioni 21.9 huku wataalamu wa afya wakionesha wasiwasi wa kuongezeka vifo na wagonjwa kufuatia maambukizi mapya yanayotarajiwa katika mwezi huu na kushauri uchukuliwaji wa hatua za mapema.

Waziri Mkuu wa nchi hiyo Narendra Modi amelaumiwa kwa kushindwa kupatikana kwa oksijeni za matibabu, huku katika taarifa ya serikali ikisema itafanya kila linalowezekana zipatikane.

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea