Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tunza fedha hali ni mbaya - Shigongo

Jumatano , 18th Jan , 2017

Mfanyabiashara na 'motivation spekear' Eric Shingongo amefunguka na kutoa darasa kwa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakifanya vitu nje ya uwezo wao ili tu kutaka kujionesha kwa watu kuwa na wao wanaweza au wana uwezo huo.

Eric Shigongo

Eric Shingongo amewasahi watu kutunza fedha na kufanya matumizi vizuri na kile wanachokitunza wasikae nacho tu ndani bali wanatakiwa kukiwekeza ili kiweze kuzalisha zaidi kuliko kukaa tu ndani.

"Mimi ni mfanyabiashara, hakuna kitu ninachokiangalia kama kubana matumizi yangu. Siwezi kununua kitu kwa milioni tano na wakati kuna uwezekano wa kukipata kwa milioni mbili tena kikiwa na ubora uleule. Kadri siku zinavyokwenda mbele, nabadilisha maisha yangu, sipendi kurundika vitu vingi vya bei kubwa, labda mwingine angeona fahari kumiliki nguo za bei mbaya, kwangu, siwezi kuishi maisha hayo". Alisema Eric Shingongo 

Shingongo anaendelea kusema kuwa hata kama una pesa kiasi gani kumbuka kubana matumizi ya fedha na unapaswa kufanya manunuzi kutokana na uwezo wako.

"Fanya manunuzi kutegemea na uwezo wako usifanye mambo ili uonekane! Tunza fedha hali ni mbaya, unayoitunza iwekeze. Ndugu yangu bana matumizi yako ya fedha na fanya manunuzi ya kawaida hata kama una fedha kiasi gani" alisisitiza Eric Shingongo 

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani