Upepo mkali wenye vumbi
Meneja wa kituo cha utabiri kutoka TMA, Samwel Mbuya ameiambia EATV/EA Radio Digital kwanba upepo huo ambao sio wa kawaida pia unaweza kusababisha madhara ya kiafya kwa wananchi wa mikoa hiyo.
Aidha Mbuya amewataka wale wote wanaofanya shughuli zao za kiuchumi ikiwemo wavuvi katika maeneo ya baharini kuchukua tahadhari katika kipindi hiki.




