
Askofu wa KKKT, Dkt. Fredrick Shoo
Askofu Shoo ametoa wito huo leo aliposhiriki katika mjadala kwa njia ya mtandao wa Zoom, Ulioandaliwa na Watch Tanzania News Agency huku akisisitiza kuwa utalii unauhusiano na mambo ya kiroho kwani humfanya mtu kuujua ukuu wa uumbaji wa Mwenyezi Mungu.
"Tanzania ni kama Paradiso, Tunaowajibu kiroho na kimaadili wa kuvitunza vivutio vyetu vya utalii, kwa ajili yetu na vizazi vijavyo" – Amesema Askofu KKKT Fredrick Shoo
Aidha Askofu Shoo amempongeza Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kwa kujitoa yeye mwenyewe kuvitangaza vivutio vya utalii nchini, akibainisha kuwa uwekezaji, biashara Tanzania.