Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TANAPA watoa neno, moto unaowaka Mlima Kilimanjaro

Jumatatu , 12th Oct , 2020

Kamishna Msaidizi wa Shirika la Hifadhi za Taifa, (TANAPA), Pascal Shelutete, amesema kuwa moto uliozuka na kuanza kuteketeza sehemu ya hifadhi za Mlima Kilimanjaro, huenda wakafanikiwa kuuzima hii leo baada ya hapo jana kushindikana na kuendelea kuwaka usiku kucha.

Sehemu ya Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro ikiteketea kwa moto.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Oktoba 12, 2020, wakati akizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio na kusema kuwa zoezi la kuuzima moto huo litakapokamilika shirika hilo litatoa tathmini ya hasara iliyojitokeza.

"Kama TANAPA tumefanya juhudi kubwa sana na asubuhi ya leo vikosi mbalimbali vimefika Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya zoezi hilo la kuuzima moto, na kazi ya kuuzima moto huo inaendelea na tunatarajia kwa nguvu hiyo iliyopelekwa moto huo utaweza kudhibitiwa kuzima kwa siku ya leo", amesema Shelutete.

Aidha ameongeza kuwa,"Bado tunaendelea kufanya tathmini na baadaye tutatoa taarifa kamili juu ya chanzo na madhara ambayo yamejitokeza, kipaumbele kwanza tunashughulikia masuala ya uzimaji wa moto halafu mengine yatafuata baadaye".

Moto huo ambao hadi sasa unaendelea kuteketeza sehemu ya Mlima Kilimanjaro ulizuka majira ya jumapili mchana ya Oktoba 11 mwaka huu na mpaka sasa chanzo cha moto huo bado hakijajulikana.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa