Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yasema Kipindupindu bado tatizo nchini

Jumatatu , 28th Dec , 2015

Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia watoto na wazee imesema kuwa bado kuna maambukizi mapya ya ugonjwa wa kipindupindu hapa nchini, na kusisitiza kuwa agizo lake la kupiga marufuku uuzwaji wa matunda pamoja na chakula lipo pale pale.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamiin Jinsia , Wazee na Watoto Mh. Ummy Mwalimu akifungua mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara ya Afya

Akitoa taarifa ya hali ya Ugonjwa wa kipindupindu hapa nchini leo jijini Dar es salaam Waziri Ummi Mwalimu amesema kuwa mpaka leo kuna wagonjwa wapya 76 hapa nchini toka mikoa 21 huku watu 196 wamefariki huku mkoa wa Kigoma ukiongoza kwa kuwa na wagonjwa wapya 17 ikifuatiwa na Morogoro vijijini 12 na Iramba 7 na kwingineko.

Waziri Mwalimu ameongeza kuwa agizo lake la kupiga marufuku uuzwaji wa matunda yaliyokatwa upo pale pale pamoja na Kuuza chakula katika mazingira machafu,

Aidha Wizara ya Afya, maendeleo ya jamii, jinsia watoto na wazee watoto watakuwa wakitoa taarifa ya ugonjwa wa kipindupindu kila jumatatu pamoja na kuzitaja halmashauri zinazoongoza kwa maambukizi.

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP