Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali, wadau kujadili sheria mpya ya habari

Jumatatu , 16th Jan , 2017

Serikali kupitia Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imepanga kukutana na wadau wa habari nchini ili kujadili mapungufu yaliyopo kwenye sheria ya huduma ya habari nchini lengo likiwa ni kuongeza ufanisi katika utendaji wa vyombo vya habari.

Nape Nnauye

Hayo yamesemwa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye, kwenye mahojiano na East Africa Television (EATV), ilipotaka kujua jitihada gani zinazofanywa na serikali za kuhakikisha vyombo vya habari nchini vinafanya kazi zake kwa uhuru na uwazi.

Mhe. Nnauye amesema kuwa wameamua kukutana na kuwashirikisha wadau wa habari ili kujua sheria hiyo inasaidiaje na ina mapungufu gani katika kutekeleza majukumu yao ili ifanyiwe marekebisho na kuleta ufanisi kwa tasnia ya habari nchini.

Katika hatua nyingine Waziri Nnauye amewataka wasimamizi wa vyombo vya habari nchini wahakikishe wanachunguza namna vipindi vinavyorushwa kwa kuzingatia maadili na taaluma ya habari ili kuepuka adhabu ambazo zinaweza kuleta hasara kwa chombo husika.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa