
Lengai Ole Sabaya, akiwa na wenzake mahakamani siku za nyuma
Shauri la kesi hiyo limeahirishwa na Hakimu Mwanamizi Mkazi wa Mahakama hiyo Odira Amworo, na kusema kuwa kesi hiyo itaendelea tena hapo kesho Agosti 5, 2021, kwa kuendelea kusikiliza ushahidi wa shahidi namba 7 ASP Gwakisa Minga ambaye ni Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wilaya ya Arusha.