
Waziri ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula pamoja na mabalozi wengine.
Katika Kikao hicho cha mabalozi Waziri Mulamula amesema Kiswahili kimepitishwa kuwa lugha rasmi ya mikutano yote ya Umoja wa Afrika.
Zaidi tazama video hapo chini