Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Samia asisitiza elimu zaidi dhidi ya UKIMWI

Alhamisi , 1st Dec , 2022

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesisitiza umuhimu wa kuzidisha elimu na kampeni kuhusu maambukizi ya UKIMWI kwani kumekuwa na ongezeko kubwa la maambukizi hasa kwa vijana wadogo

Rais Samia ametoa kauli hiyo mkoani Lindi katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambapo kitaifa yameadhimishwa mkoani humo

"Kuna maambukizi yanakuwa ya vijana wetu wa miaka 15 hadi 24, tusipozuia lile safari yetu itakuwa ndefu sana ya kutokomeza balaa hili, kwahiyo ni vyema tukaelekeza nguvu sana kwenye kampeni na elimu ya kusimamisha maambukizi"

Aidha Rais Samia amesisitiza umuhimu wa usawa ili kutokomeza ugonjwa huo ifikapo kwama 2030

"Kukosekana kwa usawa kunarudisha nyuma juhudi zetu za kutokomeza ugonjwa huu ifikapo mwaka 2030, hivyo ni muhimu tutumie maadhimisho haya tutafakari kwa kina na kuhakikisha tunaweka mikakati itakayoimarisha usawa"

Akizugumzia baadhi ya changamoto zilizopo mkoani Lindi ikiwemo suala la wanyama aina ya tembo kuvamia makazi ya watu Rais Samia amesema kumekuwa na changamoto kubwa inayotokana na wafugaji kuvamia katika maeneo ya wanyama hao 

"Wafugaji wameingia kwenye mapori yote, kwahiyo hata yale mapori ambayo tembo wamekuwa wakijificha yameingiliwa na wenyewe wametoka kuangalia makao mengine, lakini pia inawezekana jinsi tunavyotanua mashamba ya korosho na ufuta ndivyo tunavyosogea kwenye maeneo yao"

"Lindi huku kulikuwa hakuna ng'ombe, wamakonde wakiona ng'ombe walikuwa wanakimbia, sasa wafugaji wametoka walikotoka wamejaa tele Lindi, kwahiyo hata tembo waliopo Lindi hawakuwa wanajua ng'ombe hawajawahi kuwaona, kwahiyo wameona viumbe vigeni vimeingia na wenyewe wametoka, Wizara husika fanyeni kazi jambo hili" amesema Rais Samia
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa