Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Samia afanya uhamisho wa viongozi na kuteua

Alhamisi , 16th Mar , 2023

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa Kamishna Jenerali wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya Kulevya (DCEA) Gerald Kusaya, kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Rukwa.

Kushoto ni Ngussa Samike, ambaye ametenguliwa, katikati ni Gerald Kusaya RAS mpya Rukwa na kulia ni Ally Senga Gugu RAS mpya Dodoma

Taarifa ya uteuzi huo imetolewa hii leo Machi 16, 2023, na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zuhura Yunus, ambapo pia amemteua Aretas James Lymo kuwa Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini, akichukua nafasi ya Gerald Kusaya, aliyeteuliwa kuwa RAS Rukwa

Mwingine aliyeteuliwa ni Ally Senga Gugu kuwa Katibu Tawala mkoa wa Dodoma, na kabla ya uteuzi huo alikuwa ni Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara.

Aidha Rais Samia ametengua uteuzi wa aliyekuwa Katibu Tawala mkoa wa Lindi Ngussa Samike na kumteua Zuwena Omar Jiri ambaye alikuwa RAS mkoa wa Pwani. Samike atapangiwa kazi nyingine.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa