Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Samia aagiza asilimia 10 ibaki kama ilivyo

Jumamosi , 25th Jun , 2022

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameagiza Mikopo kwa vikundi maalumu ibaki asilimia 10 tofauti na mapedekezo ya Bajeti kuu yaliyotaka iwe asilimia tano

Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Mwigulu Nchemba amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ameagiza kuwa fedha za mikopo kwa wanawake ,Vijana na Walemavu kutoka kwenye mapato ya Halmashauri zibaki kuwa asilimia 10 tofauti na mapendekezo yaliyotaka zibaki asilimia 5.

Dk.Mwigulu ameyabainisha hayo jana Bungeni Jijini Dodoma wakati akijibu hoja za wabunge waliochangia mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2022/2023 ambapo amesema Rais amesisitiza wananchi wasikilizwe kwanza kwakua ndio wamewaagiza wabunge wawaseme Bungeni hapo, huku Waziri wa Elimu ,Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda akisisitiza serikali kupitia fomu za maelekezo ya michango mashuleni kupunguzwa ili kuounguza mzigo kwa wazazi na wanafunzi.

Katika muendelezo wakujibu hoja za Wabunge leo ili kupitisha Bajeti hiyo ,Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora Mhe. Jenister Mhagama ameagiza kutumika kwa database ya Utumishi ili watanzania wengi waweza kupatiwa ajira na kuhifadhi kumbukumbu sahihi ambazo zitaboresha utumishi ,huku Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe akisisitiza bei za mbolea hazitawaumiza wakulima kama ilivyokua ikisemwa nakuwatoa hofu wakulima.
 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa