Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli aeleza alivyoambiwa Bashiru ni CUF

Alhamisi , 25th Feb , 2021

Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Magufuli amesema wakati Katibu Mkuu wa chama hicho Dkt. Bashiru Ally alipoanza kufuatilia mali za chama aliambiwa ni mwanachama wa Chama cha Wananchi (CUF).

Rais Magufuli na Katibu Mkuu wa CCM Bashiru Ally

Akiongea leo Jijini Dar es Salaam baada ya kuzindua jengo la Jitegemee linalomilikiwa na chama hicho ambalo limefanyiwa ukarabati, amesema hayo ni matokeo ya jitihada za Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru.

''Ufisadi ulikuwa umeshamiri, mali za chama zilikuwa zimeshaanza kuchukuliwa na watu binafsi lakini nilipomteua Dkt. Bashiru kuwa Katibu Mkuu na akaanza kuzifuatilia watu wakasema ni CUF na mimi nikasema nataka CUF wa namna hii ndani ya CCM,'' alisema Dk. Magufuli.

Rais Dk. Magufuli leo Februari 25, 2021 anaendelea na ziara yake ya siku tatu mkoani Dar es Salaam na na shughuli zingine anazofanya leo ni kuzindua soko la Kisutu Jijini Dar es Salaam kisha atahutubia wananchi katika viwanja vya Mnazi Mmoja.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa