Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais afanya uteuzi, yumo aliyekuwa mgombea urais

Jumamosi , 15th Mei , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa wakuu wa mikoa mbalimbali hapa nchini akiwemo aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama cha ADC katika uchaguzi mkuu wa 2020, Queen Sendiga, ambaye ameteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Iringa.

Queen Sendiga, Mkuu wa mkoa wa Iringa mteule

Taarifa ya uteuzi wa viongozi hao imetolewa hii leo Mei 15, 2021, na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Gerson Msigwa, ambapo miongoni mwa walioteuliwa ni Ali Hapi kuwa mkuu wa mkoa wa Tabora, Anthony Mtaka kuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma, David Kafulila kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha.

Wengine ni Aboubakar Kunenge kuwa mkuu wa mkoa wa Pwani, Meja Jenerali Charles Mbuge kuwa Mkuu wa mkoa wa Kagera, Brigedia Jenerali Marco Gaguti kuwa Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Stephen Kagaigai kuwa Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Albert Chalamila, kuwa mkuu wa mkoa wa Mwanza, Juma Homera kuwa Mkuu wa mkoa wa Mbeya.

Tazama orodha ya wakuu wa mikoa mingine hapa chini

HABARI ZAIDI

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani